Billy Graham akiongelea teknolojia,imani na mateso.
4,628,294 plays|
Billy Graham |
TED1998
• February 1998
Akiongea katika mkutano wa TED mwaka 1998,Mchungaji Billy Graham anafurahia nguvu ya teknolojia kuboresha maisha na kubadilisha ulimwengu. -- lakini anasema kuisha kwa uovu ,mateso na kifo kutakuja tu ikiwa dunia itamkubali Kristo. Mazungumzo mahiri sana kutoka katika maktaba ya TED.