Kizazi kipya cha wasanifu majengo na wabuifu wa Africa.
1,092,032 plays|
Christian Benimana |
TEDGlobal 2017
• August 2017
Christian Benimana anataka kujenga mtandao wa wasanifu majengo watakaoweza kusaidia mlipuko wa miji mipya ya Afrika kukua na kuwa yenye manufaa--ikizingatia ukuaji na thamani ambazo ni za ki Africa. Kutoka Nigeria mpaka Burkina Faso na kuendelea mbele, anatoa mifano ya usanifu majengo unavyoleta jamii pamoja. Harakati za wasanifu majengo, wabunifu na wahandisi kwenye bara hili na diaspora wanajifunza na wanatiana hamasa, Benimana ana tualika tuwaze mbele jinsi ambavyo miji ya Afrika itakavyokuwa ya kushabihiana zaidi duniani.