Damian Palin: Uchimbaji wa madini kutoka katika maji ya bahari
1,034,006 plays|
Damian Palin |
TED2012
• February 2012
Dunia inahitaji maji safi na salam, na mengi kati ya hayo kwa sasa tunayachukua kutoka baharini,tunayatoa chumvi na kuyanywa.Lakini tufanyeke na chumvi inayobaki nyuma? Katika mazungumzo haya mafupi ya kusisimua, Mshirika wa TED, Damian Palin anapendekeza wazo: Toa madini tunayoyahitaji katika chumvi hii inayobaki, kwa kusaidiwa na bacteria wanaokula metali