Ni kitu gani kinakosekana katika mdahalo wa kidunia juu ya wakimbizi
1,137,076 plays|
Yasin Kakande |
TED2018
• April 2018
Katika mdahalo unaoendelea juu ya wakimbizi, tunasikia kutoka kwa kila mtu --- kutoka kwa wanasiasa ambao wanaahidi udhibiti wa mipaka kwa wananchi wanaoogopa kupoteza kazi zao -- kila mmoja, yaani, isipokuwa wahamiaji wenyewe. Kwa nini wanakuja? Mwanahabari na Mshiriki wa TED Yasin Kakande anaelezea nini kilochomsukuma yeye na wengine wengi kukimbia nchi zao, akisisitiza majadiliano ya wazi zaidi na mtazamo mpya. Kwa sababu simulizi la ubinadamu, anatukumbusha, ni simulizi la uhamaji: "Hakuna vikwazo ambavyo vingeweza kuwa madhubuti sana kuzuia wimbi la uhamaji ambalo limeamua historia yetu ya binadamu," anasema.